Posted on: February 7th, 2023
HALAMSHAURI ya Madaba imekuwa na mafanikio mbalimbali katika utekelezaji wa mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022.
Akitoa taarifa hiyo Mkuu wa Idara ya Mipango Prosper Luambano katika Kikao cha Baraz...
Posted on: February 7th, 2023
SEKTA ya Elimu Halmashauri ya Madaba mwaka 2021/2022 ilipokea na kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 1 kwaajili ya utekelezaji wa shughuli za Elimu.
Akizungumza Mkuu wa Idara ya Mipango kat...
Posted on: February 4th, 2023
HALMASHAURI ya Madaba imepitisha bajeti kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 14 kwa kuzingatia vipaumbele vinne.
Akisoma taarifa hiyo afisa mipango Prosper Luambano kati...