Posted on: January 31st, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma. Kanali Laban Thomas akimuapisha Mkuu mpya wa Wilaya ya Songea Ndugu Wilman Kapenjama Ndile mapema hii leo Januari 31, 2023 hafla hiyo imefanyika katika viunga vya Ofisi ya Mkuu...
Posted on: January 31st, 2023
HALMASHAURI ya Madaba imegawa vishikwambi 131 kwa walimu awamu ya pili Sekondari na Msingi.
Akizungumza katika zoezi la mgawo wa vishikwambi umefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Madaba...