Posted on: February 3rd, 2023
KUFUATIA Serikali kutangaza kampeni ya upandaji wa miti katika maeneo ya ofisi vyanzo vya maji na majumbani.
Watoto kutoka kijiji cha Kipingo Kata ya Lituta Halmashauri ya Madaba wameshiriki zoezi ...
Posted on: February 3rd, 2023
KAMATI ya Siasa Mkoa wa Ruvuma imekagua Zahanati ya Kijiji cha Kipingo iliyojengwa kwa Shilingi milioni 40 iliyoletwa kwa awamu ya kwanza kutoka Serikali kuu.
Akisoma taarifa kwa kamati ya Siasa Mk...
Posted on: February 3rd, 2023
HALMASHAURI ya Madaba imepokea fedha kiasi cha shilingi milioni 200 kwaajili ya ujenzi wa nyumba 4 za Walimu wa shule ya msingi kutoka Serikali Kuu.
Akisoma taarifa hiyo Mwalimu wa Shule ya Msingi ...