Posted on: January 23rd, 2023
Kampuni mbili zinatarajia kuanza uchimbaji wa Makaa ya Mawe katika Halmashauri ya Madaba katika Kata ya Mtiyangimbole na Gumnbiro ifikapo Machi 2023.
Hayo ameyasema Mkurugenzi mtendaji wa Halmashau...
Posted on: January 22nd, 2023
SERIKALI kupitia Wakala za Barabara TANROADS inatarajia kuanza mradi wa kuunganisha Mkoa wa Ruvuma na Mkoa wa Morogoro kwa barabara ya lami.
Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa nchini ambayo...
Posted on: January 22nd, 2023
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Sajidu Idrisa Mohamed amesema kampuni mbili za uchimbaji madini ya makaa ya mawe zinatarajia kuanza kuchimba madini hayo kat...