Posted on: March 2nd, 2021
MAADHIMISHO ya siku ya Wanawake Duniani yameziduliwa rasmi jana Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma katika viwanja vya Majimaji Mjini Songea.
Katibu wa wanawake Manispaa ya Songea Joyce Mwanja akisoma R...
Posted on: March 1st, 2021
KAIMU Kamishina wa Ardhi Msaidizi wa Mkoa wa Ruvuma Ildeforce Ndemela amesema Idara ya ardhi mkoani Ruvuma imekusanya maduhuli ya serikali kwa asilimia 108.
Akitoa taarifa kwa Naibu Waziri wa Ardhi...
Posted on: February 27th, 2021
WAZIRI Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ameiagiza mikoa na Mamlaka zote za serikali za mitaa kutenga bajeti ya kuyahifadhi maeneo yote ya kihistoria ili kutopoteza historia yake kwa manufaa ya Taifa.
...