• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Video

  • MADABA KUANZA MSAKO WANAFUNZI NYUMBA KWA NYUMBA

    January 21st, 2023

    Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Pololet Mgema amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Madaba kwa kushirikiana na watendaji wa kata kuanza msako wa nyumba kwa nyumba kuwatafuta wanafunzi wa sekondari ambao hadi sasa hawajaripoti katika shule walizopangiwa Akizungumza kwenye mkutano wa Baraza la madiwani Halmashauri ya Madaba Mheshimiwa Mgema ameagiza hadi kufikia mwishoni mwa Januari mwaka huu wanafunzi wote wawe shuleni.Awali akitoa taarifa ya mahudhurio ya wanafunzi wa sekondari,Afisa Elimu Sekondari Maternus Ndumbaro amewataja jumla ya wanafunzi 1269 walipangwa katika shule za sekondari kuanza kidato cha kwanza ambapo hadi kufikia Januari 19,2023 ni wanafunzi 535 ndiyo wameripoti sawa na asilimia 42 ambapo asilimia 58 ya wanafunzi bado hawajaripoti.

  • HATUWEZI KULIINGIZA TAIFA KWENYE NJAA NA KUWAENDEKEZA WAFUGAJI

    November 28th, 2022

    “Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amesema hayupo tayari kuliingiza Taifa kwenye njaa kwa kuendekeza wafugaji na kwamba ni marufuku wafugaji kuingia kwenye maeneo ya wakulima.Akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea Kanali Thomas amesisitiza kuwa Mkoa wa Ruvuma sio Mkoa wa wafugaji bali ni Mkoa wa kilimo ambao unaongoza kitaifa kwa kuzalisha mazao ya chakula .

  • MKUU WA MKOA WA RUVUMA AKAGUA SHULE YA SEKONDARI YA MFANO MADABA

    November 28th, 2022

    KATA ya Lituta Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma inatekeleza mradi wa sekondari mpya ya mfano kupitia mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari nchini (SEQUIP)ambapo serikali kupitia mradi huo imetoa shilingi milioni 470.MKuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amekagua mradi huu .Katika Mkoa wa Ruvuma zinajengwa shule za sekondari 11 kupitia mradi wa SEQUIP kwa gharama ya shilingi bilioni 7.7

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Kiwanda cha kuchakata Miti kujengwa Madaba

    January 08, 2025
  • TFS Wino Madaba yatoa miche ya miti 200,000 kwa wananchi

    January 08, 2025
  • RC Ruvuma azindua zoezi la upandaji miti Madaba

    January 08, 2025
  • DED Madaba amsapoti Rais Samia kwa kutoa zawadi za sikuku katika kituo cha watoto yatima Mahanje

    January 02, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

Kurasa Mashuhuru

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa