• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

SHILINGI MILIONI 95 ZATUMIKA KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA MWALIMU 2 IN 1 KATIKA SHULE YA SEKONDARI LILONDO.

Posted on: July 20th, 2025

Ujenzi wa Nyumba ya Mwalimu (2 in 1) katika Shule ya Sekondari Lilondo, iliyopo Kata ya Wino, Halmashauri ya Wilaya ya Madaba, mkoani Ruvuma, umekamilika kwa asilimia 100%. Mradi huu umegharimu jumla ya Shilingi Milioni 95.

Nyumba hii ya walimu aina ya 2 in 1 ina vyumba viwili vya kuishi ambavyo vimeunganishwa katika jengo moja, kila kimoja kikiwa na sehemu ya sebule, jiko, choo na bafu. Lengo kuu la mradi huu ni kuboresha mazingira ya kazi kwa walimu wa shule hiyo kwa kuwapatia makazi bora, ya karibu na shule, ili kuongeza ufanisi katika ufundishaji na utoaji wa elimu kwa wanafunzi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba, Sajidu Idrisa Mohamed, ameongoza timu ya wataalamu kutembelea eneo la mradi na amempongeza Mwalimu Mkuu kwa usimamizi mzuri wa kazi hii muhimu kwa maendeleo ya elimu, Aidha amewasihi walimu kwa ujumla kutunza mazingira ya shule hiyo ili yaendelee kuwa salama, safi na rafiki kwa wanafunzi na walimu.

Utekelezaji wa mradi huu ni sehemu ya jitihada za serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuboresha sekta ya elimu kupitia uboreshaji wa miundombinu, hasa vijijini, ambapo changamoto ya makazi kwa walimu imekuwa kubwa. Kukamilika kwa nyumba hii ni hatua muhimu katika kuongeza motisha kwa walimu na kuvutia walimu waliobobea kufanya kazi katika maeneo ya vijijini.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • SHILINGI MILIONI 95 ZATUMIKA KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA MWALIMU 2 IN 1 KATIKA SHULE YA SEKONDARI LILONDO.

    July 20, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa