• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA YANG'ARA NANE NANE 2025.

Posted on: August 10th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba, Wakili Sajidu Idrisa Mohamed, ametoa pongezi maalum kwa Mkuu wa Idara ya Kilimo na timu yake kwa kufanikisha ushiriki wenye mafanikio makubwa katika Maonesho ya Nane Nane Mkoa mwaka 2025.

Mkurugenzi amesema ushindi wa Mshindi wa Kwanza wa Halmashauri ya Madaba kwa Mkoa wa Ruvuma na Mshindi wa Tatu wa Jumla uliopatikana ni kielelezo cha juhudi, mshikamano, ubunifu na kujituma bila kuchoka kwa timu hiyo.

"Kufanikisha ushindi wa Mshindi wa Kwanza na Mshindi wa Tatu wa Jumla ni ushahidi wa juhudi, ubunifu, mshikamano, na kujituma kwenu bila kuchoka. Mmeendelea kuiletea heshima kubwa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba na kuonesha mfano bora wa utendaji wa kazi wenye tija," amesema Wakili Sajidu katika salamu zake za pongezi.

Aidha, amewahimiza kuendeleza mshikamano na bidii ya kazi ili kuendelea kufanikisha malengo ya maendeleo kwa wananchi wa Madaba.

Maonesho ya Nane Nane mwaka 2025 yamewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi, yakilenga kuhamasisha ubunifu na mbinu bora za kuongeza tija katika uzalishaji.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPEWA CHETI CHA PONGEZI KWA UTEKELEZAJI BORA WA LISHE

    November 21, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI MKOA WA RUVUMA YAFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MADABA.

    November 08, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI KUTOKA MKOANI YATUA MADABA KWA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO.

    November 06, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa