• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Video

  • RC RUVUMA ALIVYOKAGUA MIRADI YA BOOST

    July 7th, 2023

    MKuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amesema hajaridhishwa na Usimamizi wa miradi ya BOOST na SWASH  Halmashauri ya Madaba hali iliyosababisha miradi hiyo kutokamilika na kutekelezwa chini ya kiwango.Akizungumza baada ya kukagua miradi hiyo katika kijiji cha Lipupuma Kanali Thomas amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Madaba,Mkuu wa Wilaya ya Songea na Kamati za Usimamizi wa miradi kusimamia kwa nguvu zote ili miradi hiyo iweze kukamilika kwa  kuwa muda wa utekelezaji umekwisha na wanafunzi wanatakiwa kuanza kutumia miundombinu hiyo.Miradi ya BOOST iliyokaguliwa na Mkuu wa  Mkoa wa Ruvuma katika Halmashauri ya Madaba ni ujenzi wa madarasa mawili na vyoo shule ya Msingi Ngembambili unaotekelezwa kwa zaidi ya milioni 52,mradi wa ujenzi shule mpya ya msingi Lipupuma unaogharimu shilingi milioni 331 na mradi wa ujenzi wa vyoo matundu 13 katika shule ya msingi Sokoine kijiji cha Ngadinda unaogharimu shilingi milioni 34






  • MADABA YAPOKEA MILIONI 610,300,000/= ZA BOOST

    May 19th, 2023

    MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Teofanes Mlelwa amewasisitiza Waheshimiwa Madiwani Kusimamia Miradi ya Boost.

    Hayo ameyasema katika  kikao cha Baraza la Madiwani cha robo  ya tatu ya  mwaka 2022/2023.

    Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri Mwenyekiti amesema Waheshimiwa Madiwani wasimamie miradi ya  Boost  inayojumuisha ujenzi wa Madarasa ya Shule za Msingi na Awali na kuhakikisha inakamilika kwa wakati.

  • MWENGE WA UHURU WARIDHIA KUWEKA MAWE YA MSINGI NA KUFUNGUA MIRADI YOTE MADABA

    April 20th, 2023
  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Mlelwa atoa salam za pole

    January 15, 2025
  • Watumishi Madaba wapata picha ya pamoja mara baada ya mazishi

    January 15, 2025
  • Watumishi walivyoweka taji

    January 15, 2025
  • Pumzika kwa amani

    January 14, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

Kurasa Mashuhuru

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa