SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi bilioni 3.12 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa vyumba vya madarasa 156 katika shule 68 za sekondari mkoani Ruvuma
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amesisitiza Uongozi wa Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea kutoa elimu ya ujasirimiamali kwa Vikundi ili kuwawezesha na kujua mtaji unawapa faida. RC Ibuge ametoa msisitizo huo wakati akizungumza kwenye kikao maalum cha CAG cha Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Madaba
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa