• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Video

  • RAIS SAMIA AMETUKOMBOA IFINGA

    November 3rd, 2022

    WATUMISHI wa Ifinga Kata ya Matumbi Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma walikuwa wanatumia nusu ya mshahara wao kwa safari pia wananchi walikuwa wanakodi pikipiki kwa shilingi 15,000 hadi eneo lenye mtandao wa simu ili kupiga simu,Akitoa historia ya kijiji cha Ifinga Kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma.Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Pololet Mgema amesema kijiji hicho tangu uhuru kilikuwa na changamoto nyingi ambazo sasa serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imezipatia ufumbuzi wa kudumu.Amezitaja changamoto ambazo tayari zimetatuliwa kuwa ni matengenezo ya barabara,kuweka huduma ya Mawasiliano ya simu.kuweka huduma ya maji ya bomba na kuanza mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya.Ifinga ni kijiji pekee mkoani Ruvuma ambacho kipo kilometa 48 toka barabara kuu ya Songea-Njombe ambacho kinaunda Kata ya Matumbi yenye kijiji kimoja cha Ifinga.

  • Rais Samia atoa milioni 200 ujenzi wa Madarasa Madaba

    October 31st, 2022

    Rais samia ametoa shilingi milioni 200 kwa mwaka huu wa fedha 22/23 za ujenzi wa madara 10 katika Halmashauri ya Madaba

  • MKOA WA RUVUMA WAINGIA MIKATABA 13 YA MATENGENEZO YA BARABARA

    October 21st, 2022

    Mkoa wa Ruvuma umeingia mikataba 13 na wakandarasi yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni sita kwa ajili ya kutekeleza kazi mbalimbali za matengenezo ya barabara na ujenzi wa madaraja na makaravati.Mgeni rasmi katika hafla ya kuingia mikataba hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas.Meneja wa TARURA Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Wahabu Nyamzungu amesema mikataba hiyo ni utekelezaji wa hatua ya pili kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini TARURA Mkoa wa Ruvuma una mtandao wa kilometa 7146.22 ya mtandao mzima.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • DED Madaba heri ya Chrismas na Mwaka mpya

    December 25, 2024
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Heri ya chrismas na mwaka mpya 2024

    December 25, 2024
  • DC Songea awatakia heri ya Chrismas na Mwaka mpya 2025

    December 24, 2024
  • WASABATO Madaba na Wanafunzi wa chuo cha Afya Songea wachangia damu Hospitali ya Wilaya Madaba

    December 11, 2024
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

Kurasa Mashuhuru

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa