• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

KAMPUNI YA AVIV YATEMBELEA HALMASHAURI YA MADABA KWAAJILI YA UWEKEZAJI WA KILIMO CHA KAHAWA.

Posted on: August 12th, 2025

Meneja wa Kilimo wa Kampuni ya AVIV, akiwa ameambatana na wataalam mbalimbali, ametembelea Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji, Wakili Sajidu Idrisa Mohamed pamoja na Mkuu wa Idara ya Kilimo.

Mazungumzo hayo yamelenga kujadili mpango wa kampuni hiyo kuwekeza katika kilimo cha kahawa ndani ya Halmashauri ya Madaba, ikiwemo pia kuwekeza katika ununuzi wa kahawa inayozalishwa katika maeneo mbalimbali ya halmashauri hii.

Uwekezaji huo unatarajiwa kuleta manufaa makubwa kwa wananchi wa Madaba, ikiwa ni pamoja na fursa za ajira, upatikanaji wa miche bora ya kahawa kwa wakulima, na uboreshaji wa huduma za kijamii kama vile afya na elimu.

Halmashauri ya Madaba ipo tayari kushirikiana na kampuni hiyo ili kuhakikisha uwekezaji huo unatekelezwa kwa manufaa ya wananchi na maendeleo ya sekta ya kilimo hususan kahawa.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • WAHITIMU WA UFUNDI STADI KUPATIWA VIFAA VYA KUANZIA KAZI VYENYE THAMANI YA MILIONI 4.4

    November 27, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA NGAZI YA MSINGI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA WAANZA MAFUNZO MAALUM YA KUBORESHA HUDUMA KWA WAZEE

    November 26, 2025
  • DC NDILE ATOA MAELEKEZO YA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE MADABA

    November 25, 2025
  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa