• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA kutoa dawa ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele kwa wanafunzi Januari 21 hadi 22

Posted on: January 15th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wamefanikiwa katika zoezi la umezeshaji wa dawa katika ngazi ya shule na jamii kwa magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele mwaka 2024 watu 55,707 sawa na asilimia 89.

Akitoa taarifa hiyo mratibu wa magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele Waziri Ramadhan katika kikao cha mapitio na mpango mkakati wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele amesema mpango huo ulifanikiwa kwa watu 55707 walimeza dawa kati ya watu 62,922 walioandikishwamwaka 2024.

Amesema mwaka 2024 halmashauri ya Wilaya ya Madaba ilipokea zaidi ya shilingi Milioni 87 ambazo zilitumika katika zoezi la ugawaji wa dawa  katika ngazi ya shule na Jamii.

Hata hivyo amesema mafanikio ya zoezi la umezeshaji wa dawa ikiwemo kufahamu umuhimu wa kuzingatia kinga tiba zinazotolewa ,tumegawa za usubi katika ngazi ya jamii kwa zaidi ya asilimia 80.

“Tumeweza kupunguza kiasi cha wagonjwa wanaoripoti katika vituo vya kutolea  kwa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele na tumemezesha dawa ya minyoo ya tumbo  na kichocho ngazi ya shule na  kwa zaidi ya asilimia 99.5”

Ramadhani amesema mwaka 2025 zoezi litafanyika Januari 21 hadi 22 kwa ngazi ya shule na kutarajia kutoa dawa kwa jumla ya wanafunzi 13,574.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Januari 15,2025

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa