• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

ZAIDI yashilingi Bilioni 8 yatekeleza Miradi ya Maendeleo Halmshauri ya Madaba

Posted on: January 9th, 2024

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba imepokea zaidi ya shilingi Bilioni 8 kutoka Serikali kuu kwaajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika sekta ya Elimu Msingi Elimu Sekondari ,Afya na Utawala.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed kuwa kwa kipindi cha Mwaka wa fedha 2021/2022 hadi 2023/2024 Halmashauri imetekeleza Miradi mbalimbali na kukamilika kwa asilimia 100.

Amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia imewasikia na imewafikia wananchi kwa kutoa kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 1  kupitia divisheni ya Elimu Msingi,kwaajili ya ujenzi wa vyumba 39 vya madarasa na matundu 144 ya vyoo.

Hata hivyo amesema wamefanikiwa kukamilisha chumba kimoja cha darasa ukarabati wa shule Kongwe 4 ujenzi wa hosteli moja ya wanafunzi wenye mahitaji maalumu na ujenzi wa nyumba 4 za walimu katika divisheni ya Elimu Msingi.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Januari 8,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa