Halmashauri ya Wilaya ya Madaba imezindua mafunzo ya siku tatu kwa Wataalamu wa Afya ngazi ya msingi, yakilenga kuboresha huduma za kinga, utambuzi na ufuatiliaji wa magonjwa ya wazee, magonjwa yasiyoambukiza, afya ya uzazi pamoja na huduma za wagonjwa majumbani. Mafunzo haya yanafanyika kuanzia tarehe 26–28 Novemba 2025 kwa ushirikiano kati ya Shirika la PADI na HelpAge Tanzania, na yanajumuisha wataalamu kutoka vituo mbalimbali ndani ya Halmashauri.





MADABA - RUVUMA
Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA
Simu: 0252951052
Simu ya Mkononi:
Barua pepe: ded@madabadc.go.tz
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa