• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

ZAIDI ya shilingi Bilioni 2 zatekeleza Miradi ya maendeleo Elimu Sekondari Madaba

Posted on: January 9th, 2024

HALMSHAURI ya Wilaya ya Madaba kwa kipindi cha mwaka wa Fedha 2021/2022 hadi 2023/2024 Serikali ya awamu ya Sita imetoa zaidi ya shilingi Bilioni 2 Kwaajili ya uteekelezaji wa Miradi ya maendeleo divisheni ya Elimu Sekondari.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed ofisini kwake kuwa  Elimu Sekondari wametekeleza ujenzi wa vyumba 46 vya madarasa,ukamilishaji wa maabara na ujenzi wa Shule mpya 2,ujenzi wa nyumba 3 za walimu,ukamilishaji wa hosteli,ukamilishaji wa bwalo  na ujenzi wa nyumba 5 za walimu.

Hata hivyo amesema utekelezaji wa Elimu bila malipo Serikali imeendelea kutoa Sera ya utoaji wa Elimu bila malipo kwa mafanikio ambapo kwa kipindi cha 2021/2022 hadi kufikia Novemba 2023  Halmashauri ya Wilaya ya Madaba imeendelea kupokea fedha kiasi cha zaidi ya shilindi Milioni 426 kutoka Serikali kuu.

Amesema Serikali ya awamu ya sita imewasikia na imewafikia wananchi kwa kusaidia upatikanaji wa magari 2 kwaajili ya shughuli za usimamizi wa utoaji na uendeshaji wa elimu kwa Divisheni ya Elimu Msingi na Sekondari yamegharimu Milioni 190.

“Halmshauri  inaendelea kufuatilia na kutekeleza kwa ufanisi utoaji wa Elimu bila malipo ili fedha ya Serikali inayowekezwa iweze kutoa matokeo chanya katika kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika Mitihani ikiwemo kuimarisha taaluma na elimu kwa ujumla.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba,                                           

Januari 8,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa