• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPEWA CHETI CHA PONGEZI KWA UTEKELEZAJI BORA WA LISHE

Posted on: November 21st, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Madaba imekabidhiwa Cheti cha Pongezi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kutokana na kutenga fedha za lishe kwa kiwango cha juu kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Cheti hicho kimetolewa tarehe 21 novemba 2025, katika Maadhimisho ya Siku ya Lishe Kitaifa yaliyofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Matarawe, Wilaya ya Songea.

Akizungumza katika maadhimisho hayo kwa niaba ya Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Abbas Ahmed Abbas, amesema Siku ya Lishe Kitaifa ni muhimu kwa kuwa inaikumbusha jamii wajibu wa kuzingatia ulaji bora ili kujenga taifa lenye afya imara.

Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Louis Chomboko, amewasilisha taarifa ya hali ya lishe mkoani humo na kueleza kuwa kiwango cha udumavu kwa watoto chini ya miaka 5 kimepungua kutoka asilimia 44 mwaka 2016 hadi asilimia 35.6 mwaka 2021/2022. Hata hivyo, amesema kuwa kiwango hicho bado kiko juu kitaifa, huku Ruvuma ikishika nafasi ya tano kwa udumavu wa juu.

Dkt. Chomboko amesema malengo ya mkoa ni kupunguza udumavu hadi chini ya asilimia 20 ifikapo mwaka 2030.

Aidha, wadau mbalimbali wa maendeleo ya lishe wameahidi kuendelea kushirikiana na serikali katika kuimarisha mifumo ya lishe, kutekeleza sera, mipango na tafiti zinazoongoza maamuzi sahihi ya uwekezaji katika lishe. Wamesema mshikamano huo ni muhimu katika kukabiliana na changamoto za utapiamlo, hususan udumavu kwa watoto.

Mkurugenzi wa Lishe kutoka Wizara ya Afya, Bi. Neema Joshua, amesisitiza kuwa lishe bora ni msingi wa afya kwa watu wa rika zote na kwamba mabadiliko chanya huanza katika kaya. Amesema juhudi zinazoendelea kufanywa na serikali na wadau zimeanza kuleta matokeo mazuri katika kupunguza matatizo ya lishe nchini.

Maadhimisho hayo yameendelea kuwa jukwaa la kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa lishe bora na kuonesha mchango wa kila mdau katika kuboresha afya na ustawi wa wananchi. Halmashauri ya Madaba imepongezwa kwa kuwa miongoni mwa halmashauri zinazotekeleza kwa vitendo uwekezaji katika lishe kwa manufaa ya wananchi wake.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • WAHITIMU WA UFUNDI STADI KUPATIWA VIFAA VYA KUANZIA KAZI VYENYE THAMANI YA MILIONI 4.4

    November 27, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA NGAZI YA MSINGI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA WAANZA MAFUNZO MAALUM YA KUBORESHA HUDUMA KWA WAZEE

    November 26, 2025
  • DC NDILE ATOA MAELEKEZO YA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE MADABA

    November 25, 2025
  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Toto Slot
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • AXL777
  • KOI200
  • Situs Toto
  • AERO88
  • AXL777
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • toto slot
  • koi200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • situs toto
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200