• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

ZAIDI ya hekta 500 za Mashamba ya Miti ya Wananchi yaungua na moto Madaba

Posted on: October 12th, 2023

ZAIDI ya Hekta 500 za Mashamba ya Miti ya Wananchi Wino Halmashauri ya Wilaya ya Madaba yameteketea kwa moto na kujeruhi watu wanne waliokuwa wakizima moto huo.

Afisa wa Shamba la Miti Wino Geofrey Shio amesema moto huo umetokea Oktoba 11 ,2023 ikiwa chanzo cha moto huo mwananchi mmoja alikuwa anapika chakula katika eneo hilo na moto kupeperuka na kuteketeza mashamba ya miti.

Shio amesema Shamba la Serikali la Wakala wa Misitu Wino TFS limeaungua kwa sehemu ndogo asilimia 0.3

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo amefika katika eneo hilo ametoa rai kwa wananchi kuhakikisha wanadhibiti moto na kuendelea kulinda miti iliyopandwa.

“Halmshauri ya Madaba tunategemea uchumi  wa misitu kwa miaka ijayo  tunawasihi wananchi waliende mazingira na kuhakikisha hautokei uzembe ambao utaharibu rasilimali zetu za Misitu”.

Mkurugenzi amesema Halmashauri ya Madaba katika eneo hilo kuna wawekezaji wengi ambao wamewekeza katika kilimo cha Miti  kwa hekta nyingi.

“Mwaka jana tulipa changamoto katika mashamba ya TFS  hekta nyingi ziliungua tuhakikishe sisi sote kwa pamoja tunaungana ili tuweze kutunza rasilimali za uchumi wetu wa baadae”.

Hata hivyo Mkurugenzi ametoa pole  kwa uongozi wa TFS kwa vijana waliopata majeraha ya kuungua moto ambao watatu wapo Hospitali ya Peramiho na mmoja yupo kituo cha Afya Madaba.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Oktoba 12,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa