• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WILAYA ya Songea watoa maoni ya dira ya Taifa ya maendeleo 2026/2050

Posted on: August 13th, 2024

KATIBU Tawala Wilaya ya Songea Mtela Mwampamba amemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile katika kikao cha Wilaya ya Songea cha kutoa maoni ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2026/2050.

Mwampamba akizungumza katika kikao hicho amesema mwaka 1961 mara baada ya kupata uhuru Nchi ya Tanzania ilikuwa inaongzwa na ujamaa na mara baada ya kufika mwaka 1980 ikaonyesha kuwa Watanzania wanatakiwa kuwa na Dira ya Taifa ya Maendeleo.

“Mambo mengi ambayo tuliyokuwa tunafanya kama ujamaa au ushirika tukaona hauwezi kuendena na ulimwengu wa sasa tayari teknolojia ilikuwa imebadilika na ilipofika mwaka 1986 tuliunda dira yetu ambayo iljikita katika kuhamasisha amani, utulivu,umuhimu wa kufanya kazi, na umuhimu wa kuwa wazalendo katika Taifa letu ilienda mpaka mwaka 1999”.

Katibu Tawala amesema mwaka 2000 aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Benjamini Mkapa aliasisi dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2000 hadi 2025 ambayo inatumika mpaka sasa.

“Aliasisi kwasababu teknolojia ilikuwa imekuwa sana duniani tusingeweza kuishi kama kuwa na kuendelea ya kilimo kisicho na tija,ujamaa ambao umekufa ,kuhozi viwanda vyetu Mkapa aliamua kubadilisha mfumo huo na kuingia kwenye mfumo wa utandawazi”.

Hata hivyo amesema  serikali iliweza kumiliki uchumi na kuwa na miundo mbinu mizuri ya barabara,afya,elimu na kuweza kuwa na uchumi wa mtu mmoja mmoja na kuwa na amani na usalama wanchi ya Tanzania.

“Dira yetu ya mwaka 2000 hadi 2025 inaisha mwaka kesho tunahitaji kuwa na dira ya mwaka 2026 hadi 2050 pamoja na mabadiliko makubwa ambayo Taifa limepitia bado tumepata changamoto za ajira elimu haiwezi kumfanya mtoto kujiari  kwa sababau wengi wanaufaulu wa  kwenye makaratasi”.

Kutoka kitengo cha mawsiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 12,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa