• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Wawekezaji wa kampuni ya Xiwang kutoka China kuwekeza Madaba kwa Kilimo cha Mifugo

Posted on: February 17th, 2024

Wawekezaji wa Kampuni ya Xiwang kutoka Nchi ya China wamepewa shamba lenye Hekari 10,000 lililopo Kijiji cha Ngadinda Kata ya Gumbiro Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kwaajili uwekezaji wa kilimo cha mifugo.

Akizungumza Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama amesema shamba hilo la Serikali lilikuwa na hekari 15,000 ambapo hekari 5000 wamepewa wananchi kwaajili ya kilimo na wawekezaji wamepewa hekari 10,000 kwaajili ya uzalishaji wa vyakulia vya  mifugo

“Wananchi mmepewa hekari 5000 na eneo lililobaki tunampa mwekezaji kwaajili ya kilimo na siyo ufugaji bali ni kilimo cha mahindi ya njano soya na huu ndio mkakati wetu naomba tutoe ushirikiano shamba siyo letu ni la Wizara”.

Meneja wa Kampuni hiyo Savio Chanahi amesema wamejipanga kwaajili ya uzalishaji wa mahindi ya njano na soya na ufuta na watakuwa wanabadilisha mazao kwa kurutubisha ardhi na kulinda mazingira.

“ Sisi tumejipanga mara tu Wizara itakapo tukabidhi Shamba  tumejipa miezi miwili  mtaanza kuona vifaa kwaajili ya matumizi ya kilimo”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba                        

Februari 17,2024.     

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa