• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WATENDAJI na Walimu Madaba wajengewa uwezo wa matumizi ya Mfumo wa FFARS

Posted on: June 8th, 2023

Wataalamu Halmashauri ya Madaba wamepewa mafunzo ya Mfumo wa FFARS kwa kuwajengea uwezo juu ya manunuzi na matumizi ya fedha za Umma.

Mafunzo hayo yamefunguliwa na Mkurugenzi Mtendhaji wa Halmashauri hiyo Sajidi Idrisa Mohamed amesema  mfumo  wa FFARS unawakumbusha watendaji wa vijiji na watendaji Kata kwa kuwajengea uwezo kwa matumizi ya Fedha za Serikali.

Mkurugenzi amesema mfumo huo umekuja kwaajili ya kuondoa changamoto na kuepuka hoja za ukaguzi na kufanya malipo kwa kutumia mfumo kwa mfano  miradi ya vijiji au miradi ya Serikali zikija kutoka  Makao makuu zitakuwa zinaingizwa kwe account za vijiji.

“Nitoe rai kwenu mfumo huu muuelewe na uanze kufanya kazi mwaka wa fedha ujao mtaanza kukaguliwa  na wakaguzi wanje na Mkaguzi wa Ndani muanze kwenda kwa utaratibu wa manunuzi na Sheria ya Fedha”.

Mhasibu Msaidizi wa Halamshauri hiyo  Dotto Ndeleka amesema imekuwa ni jambo la muhimu sana kwa Watendaji na walimu kupata mafunzo hayo ya mfumo wa FFARS.

Ndeleka amesema kufikia Julai 1, 2023 wanatakiwa kuanza kutumia mfumo huo utapelekea kuweka wazi   Matumizi na makusanyo ya Mapato kwa ngazi ya vijiji na Kata.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Juni 7,2023

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa