• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WATAALAM wapewa mafunzo ya utekelezaji wa mradi wa Boost

Posted on: July 31st, 2024

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba wamefanya mafunzo ya utekeleza wa mradi wa Boost mwaka 2024 /2025.

Katika mafunzo hayo wamehudhuria walimu wakuu sita ambao wamepata mradi watendaji  wa vijiji,wahasibu na wataalamu kutoka ofisi ya Mkurugenzi.

Mratibu wa Boost Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Raphael Kibirigi amesema wamepokea kiasi cha shilingi milioni 398,800,000/= kwaajili ya ujenzi wa matundu 36 ya vyoo  na madarasa 12 katika shule sita za msingi.

 Mhandisi wa Halmashauri hiyo Ledemta Lweikiza ametoa rai kwa walimu wote ambao wamepata mradi kuzingatia mwongozo wa ujenzi ,vipimo pamoja na kuzingatia maelekezo yote ambayo watapewa na mhadisi katika ujenzi huo.

Naye Afisa Manunuzi Steward Eliak amesema wasimamizi wahakikishe wanakuwa makini katika utekelezaji wa mradi huo kwa kuzingatia bajeti iliyopo.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde                                                           

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Julai 31,2024.                       

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa