• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WASTAAFU na watumishi waliopo kazini wapewa mafunzo

Posted on: July 31st, 2024

Wastaafu na watumishi waliopo kazini wamepewa semina ya matumizi ya benki ya Azania kwaajili ya kuwekeza akiba na kupata mikopo mbalimbali.

Akizungumza katika semina hiyo  Meneja wa tawi la Tunduma Mullaga Sunday amesema benki hiyo inamilikiwa kwaasilimia 99 na mifuko ya jamii kama PSSSF,NSSF,WCF na NHIF na benki ya maendeleo ya Afrika Mashariki.

“Hao wote wanamiliki hisa za benki kwa asilimia 99 na hiyo asilimia moja ni wamiliki wadogo wadogo hii ni benki yetu ya wazawa tuanzie nyumbani”.

Sunday amesema kuwa wanatambua mchango wa wafanyakazi waliopo kazini na hata waliostaafu ikiwa Mkoa wa Ruvuma walifanya semina na wastaafu.

“Mwaka 2018 tulifanya  semina na wastaafu Mkoa wa Ruvuma na tulipata wastaafu wengi takribani 400  katika ukumbi wa bomba mbili kwa kutoa mikopo na tulitoa elimu ya fedha maana unaweza kukopa halafu usijue namna ya kutumia”.

Kwa upande wake Afisa wa Azania Mkoa wa Ruvuma Ellen Kabote amesema Azania benki inatoa mikopo kwa mwanamke hodari ambapo anaweza kukopa mara nne ya akiba yake .

“Account yetu ya mwanamke hodari inariba ya asilimia moja tu kama unamilioni moja unaweza kukopa milioni 10 na kama una milioni 10 unakopa milioni 40 lakini vigezo na masharti kuzingatiwa”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Julai 29,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa