• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WASABATO Madaba na Wanafunzi wa chuo cha Afya Songea wachangia damu Hospitali ya Wilaya Madaba

Posted on: December 11th, 2024

Waumini wa kanisa la Wasabato Madaba na wanafunzi wa chuo cha Afya Songea (Songea College  ofa health and allied science) wamechangia damu katika hospitali ya Wilaya ya Madaba.

Zoezi hilo limefanyika Disemba 11,2024 jumla ya chupa 19 za damu zimetolewa kwaajili ya uokoaji wa wagonjwa wa dharula, na huduma za mama na mtoto.

Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Mussa Rashid  amewapongeza waumini wa kanisa hilo na wanafunzi wa chuo cha Afya Songea kwa kujitoa kutoa damu na kuwa mabalozi wazuri kwa wananchi wengine.

“Uchangiaji wa damu salama ni hiari na ni muhimu kwa sababu katika hospitali yetu tunauhitaji mkubwa wa damu ili kuokoa wagonjwa  wanaofanyiwa upasuaji ikiwa huduma za mama na mtoto zinaendelea,uhitaji  wa damu salama ni mkubwa”.

Hata hivyo mratibu wa  huduma za maabara ametoa elimu ya uchangiaji wa damu kwa waumini wa kanisa hilo  na wanafunzi wa chuo cha afya songea pia ametoa rai kwa wananchi wote kujitokeza  kuchangia damu salama ambayo itasaidia kuokoa uhai wa wananchi .

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Desemba 11,2024.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa