• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WARATIBU wa Lishe Madaba wapewa Mafunzo

Posted on: August 16th, 2023

HALMASHAURI  ya Wilaya ya Madaba leo wamefanya mafunzo ya afua za Lishe kwa Waratibu ngazi ya vituo vya Afya vya Serikali na Visivyo vya kiserikali ya huduma ya mwaka wa fedha 2023/2024.

Akifungua mafunzo hayo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamedi akiwakilishwa na Kaimu Mkurugenzi Maternus Ndumbaro amesema waratibu  hao kupitia mafunzo hayo wanadhamana kubwa ya kutoa ushauri kupitia mpango shirikishi wa LisheTaifa.

Ndumbaro amesema adhima ya mafunzo hayo katika Halmashauri nikupinga na kutatua hali duni ya Lishe katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

“Ndugu waratibu nidhahiri Lishe  bora  katika jamii nikichocheo cha maendeleo katika Nyanja zote za Afya,Kilimo,Elimu,Biashara na uchumi “.

Hata hivyo amesema jambo la msingi linalotakiwa kuzingatiwa katika Lishe ni suara mtambuka ambapo utapiamlo katika jamii nimatokeo ya matatizo mengi,hivyo umuhimu wa Lishe husaidia maendeleo kwa mtu mmojammoja na jamii kwa ujumla.

“Serikali kwa kutambua kuwa Lishe ni suala la kimaendeleo hapa Nchini mapambano dhidi ya Lishe duni  yamekuwa mojawapo ya maeneo ya kipaumbele katika mpango wa pili wa Maendeleo Kitaifa miaka mitano  2021 hadi 2026”.

Amesema mpango huo umejikita katika maeneo manne ikiwemo upungufu wa uzito,tatizo la vitamini na madini ,  uzito uliozidi na uliokithili nakuweka mazingira wezeshi katika utekelezaji wa shughuli za Lishe.

Ndumbaro amesema Serikali ya awamu ya sita inatambua Umuhimu wakuwekeza katika shughuli za Lishe kama msingi Imara na mkakati mojawapo wakufanikisha malengo na mkakati kupitia uchumi kwa maendeleo ya Viwanda ifikapo mwaka 2025.

Amesema Serikali kwa kutambua changamoto hizo ili kutoa msukumo wa kutekeleza afua za Lishe Nchini, kuunda na kuzindua utekelezaji wa mpango jumuishi waTaifa mwaka 2021 dadi2025,hivyo ametoa rai kwa waratibu hao kuhakikisha kupitia mafunzo hayo wakatatue changamoto za Lishe katika  Halmashauri ya Madaba.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo Cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba.

Agosti 16,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • WAHITIMU WA UFUNDI STADI KUPATIWA VIFAA VYA KUANZIA KAZI VYENYE THAMANI YA MILIONI 4.4

    November 27, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA NGAZI YA MSINGI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA WAANZA MAFUNZO MAALUM YA KUBORESHA HUDUMA KWA WAZEE

    November 26, 2025
  • DC NDILE ATOA MAELEKEZO YA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE MADABA

    November 25, 2025
  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa