• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WANAWAKE wa TAG walivyohitimisha sikukuu yao

Posted on: March 4th, 2024

Kanisa la Tanzania Assemblies Of God wamehimitimisha sikukuu ya wanawake inayofanyika kila Mwaka mwezi Machi kwa kufanya huduma mbalimbali ikiwemo kupeleka mahitaji katika vituo mbalimbali vya watoto yatima.

Kaniasa la Tanzania Assemblies of Madaba Wilaya ya Songea Mkoa wa Ruvuma wameadhimisha sherehe hizo kwa kufanya huduma mbalimbali ikiwemo kutoa mahitaji katika kituo cha watoto yatima Mahanje na kufanya huduma mbalimbali katika Kanisa.

Akisoma lisala katika Sherehe hizo Mhasibu wa Jimbo la Ruvuma Kati Rehema Haule amezisema changamoto zinazosababisha wanawake wa kanisa hilo kupelekea kutofanya huduma za Kimungu kwa usahihi ikiwemo majukumu mengi ya kujitafutia maisha.

Hata hivyo wameomba kupata semina za mara kwa mara ikiwemo semina za ndoa,malezi ya familia pamoja na kupata maombi  ili waweze kutimiza agizo la Mungu kwa kila mwanamke.

Naye Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hilo Obeid Mwasyika amewapongeza wanawake wa kanisa hilo kwa kufanya huduma nzuri ya kuona watoto yatima pamoja na kuhudumu za kanisa.

Hivyo Mchungaji ameahidi kufanya Semina kwa wanawake hao mara kwa mara pamoja na kuendelea kuwaombea ili waweze kufanya vizuri katika kanisa na katika familia zao.

“Nimekuwa nikiwaombea kila siku,mwanamke bila Mungu hawezi kushinda hivyo niwaombe mshikeni  Mungu zaidi ili awasaidie katika kila mnalofanya”.

Na mwandishi wetu Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Machi 3,2024.                    

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa