• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Wananchi wampongeza Rais Samia kwa kuleta huduma za kibingwa Madaba

Posted on: November 1st, 2024

Wananchi wa halmashauri ya Wilaya ya Madaba wametoa maoni yao na wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Watazania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta Madaktari bingwa bobezi mpaka vijijini.

Wakitoa maoni hayo katika hospitali ya Wilaya ya Madaba ambako wamepwatiwa huduma za Afya za kibingwa   Bernadi Mbilinyi amesema ujio wa madaktari bingwa umeleta mafanikio makubwa ikiwa wamefaidika na huduma ambazo zilishindikana katika matibabu ya kawaida.

“Wito wangu kwa Serikali huduma hizi tuwe tunaletewa mara kwa mara ili tuweze kunufaika na huduma hizo isiwe tu kwa watu wanaoishi karibu na hospitali ya Muhimbili,tunamshukuru Rais Samia kwa kutupunguzia safari ya kwenda mbali kutafuta huduma ya afya hasa kwa sisi watu wenye kipato cha chini”.

Naye Diwani viti maalum halmashauri ya Wilaya ya Madaba Vumilia Tawete ameishukuru Serikali kwa huduma ya mama na mtoto ikiwa kwa mara ya kwanza mzazi amefanyiwa upasuaji  katika hospitali hiyo.

Hata hivyo amesema Tawete amenufaika kwa huduma za kibingwa na amewakaribisha wananchi kuhakikisha wanakuja kupata huduma katika hospitali hiyo iliyo kamilika.

“Namimi nimenufaika wananchi wote mje mpate huduma katika hospitali ya Wilaya tumekagua kila mahali majengo yamekamilika na vifaa vyote vipo”.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Novemba 1,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa