• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WANAFUNZI wa darasa la awali hadi la nne kupimwa usikivu na uoni

Posted on: May 9th, 2024

Wanafunzi wa darasa la awali hadi darasa la nne katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wanatarajia kuanza kupimwa viwango vyao vya uoni na usikivu kuanzia Jumatatu Mei 13 hadi 19, 2024.

Akizungumza katika kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Afisa Elimu Msingi Saada Chwaya Zoezi hilo litafanyika katika Mikoa minne Mkoa wa Ruvuma, Mtwara,Mbeya na Iringa  ili kubaini wanafunzi wenye changamoto ya kuona na kusikia.

“Zoezi hilo litafanyika kwa ushirikiano wa Wizara ya AfyaOfisi ya Rais TAMISEMI na USAID kupitia mradi wa Jifunze uelewe”.

Kwa upande wake mratibu wa Jifunze uelewe Mkoa wa Ruvuma amesema wanafunzi watakao baishwa  kuwa na changamoto za uoni na usikivu  watachunguzwa zaidi kitaalam na kupatiwa afua stahiki vikiwemo visaidizi kama vile miwani na shimesikio vitakavyotolewa na shirika lisilo la kiserikali la HOJA.

Naye Afisa Elimu Maalum Halmashauri ya Madaba Teddy Sanga amesema kuwa Halmashauri ina wanafunzi wengi wanaohitaji visaidizi katika uoni na usikivu hivyo zoezi hili litaboresha ujifunzaji wa wanafunzi litasaidia  kuinua kiwango cha taalum kwa wanafunzi wote kuwa na mazingira sawa ya kujifunza.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Mei 10,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa