• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WANAFUNZI wa Chuo cha Lita Madaba wapewa Elimu ya Magonjwa yasiyopewa Kipaumbele

Posted on: January 30th, 2024

KUFUATIA maadhimisho ya Wiki ya Kupambana na Magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele Halmashauri ya Madaba wametoa Elimu ya Magonjwa katika maeneo tofauti ikiwemo Chuo cha Afya ya Wanyama na uzalishaji Lita.

Mratibu wa Mgonjwa hayo Daktari Betty Mbawala akizungumza na Wanafunzi wa Chuo hicho amesema Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wanzee na Watoto wanaadhimisha wiki hii ikiwa katika ngazi za Halmshauri na Mikoa wanapaswa kutoa Elimu inayohusu magonjwa hayo katika maeneo tofauti

“Tunapotoa Elimu hiyo ya Magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele inasaidia kujenga uelewa wa pamoja na namna ya kufanya,tusiendelee kuita hayapewi kipaumbele maana yanamadhara kwetu kama hatuta chukulia mkazo na kujua magonjwa hayo na kuyadhibiti”.

Mbawala ameyataja Magonjwa matano katika Nchi ya Tanzania ambayo hayapewi kipaumbele ukiwemo Ugonjwa wa Usumbi,Matende na Mabusha,Kichocho cha tumbo,Minyoo pamoja na Trakoma.

Hata hivyo ameelezea jinsi ya  kutumia kinga tiba ambazo zinatolewa bure na Serikali ili kuhakikisha Jamii inaepuka kupata magonjwa hayo.

Meneja wa Chuo hicho Beata Balindile akizungumza mara baada ya wataalam wa Afya kutoa Elimu hiyo amesema na wanafunzi hao kuhakikisha wanapata dawa hizo kufuatia eneo hilo lina hatari ya kupata magonjwa hayo.

“Ndugu zangu mnapopata fursa hii  ya kuweza kupata Dawa tena bure na mazingira yetu mmeyaona hakikisheni mnameza dawa”.

Balindile amesema kuwa athari za ugonjwa huo unaweza usijitokeze haraka na ikapelekea kuleta matatizo katika familia hapo baadae ikiwa Elimu imetolewa kila mmoja ameze dawa kwa wakati.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano halmashauri ya Madaba

Januari 29,2024.      

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa