• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WANAFUNZI 72 Lilondo Madaba wahitimu Elimu ya Msingi

Posted on: September 21st, 2023

WANAFUNZI 72 katika Shule ya Msingi Lilondo Kata ya Wino Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wamefanikiwa kuhitimu Elimu ya Msingi mwaka 2023.

Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Agnes Sanga akisoma taarifa katika Hafla fupi ya Kuwaaga wanafunzi hao amesema wanafunzi hao walianza darasa la kwanza Mwaka 2017  wakiwemo wanafunzi 78 wavulana 43 na wasichana 35.

Sanga amesema hadi kufikia Mwaka 2023 wamehitimu wanafunzi 72 ikiwa wavulana  41 na wasichana 31 .

Mkuu wa wa Shule amemshukuru Diwani wa Kata hiyo ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kwa kufanikisha Shughuli mbalimbali za maendeleo  katika Shule ya Lilondo.

“Tunakushukuru Mh. Diwani wa Kata ya Wino,wazazi na walezi pamoja na wadau kwa ushirikiano wa kufankisha shughuli zote za maendeleo pamoja na kuchangia chakula cha mchana kwa wanafunzi”.

Hata hivyo Mwalimu amesema Shule hiyo inaupungufu wa walimu 8,ukosefu wa fedha za kukarabati nyumba 1 ya Mwalimu pamoja na shimo la choo.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 21,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa