• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WAMBURA Huduma za kibingwa zitaendelea kutolewa hospitali ya Wilaya Madaba

Posted on: November 1st, 2024

MGANGA Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Madaba Chacha Wambura amesema ujio wa Madaktari bingwa umepelekea wananchi kuhamasika kutibiwa kwa wingi katika hospitali hiyo.

Hayo amesema ikiwa ni ni siku ya tano ya utoaji wa huduma za kingwa katika halmashauri ya Wilaya ya Madaba kuwa mpaka kufikia leo wangonjwa 296 wamepatiwa huduma.

“Tumenufaika kwa vitu vingi sana ukilinganisha na siku zingine tumekusanya mapato  kiasi cha zaidi ya shilingi milioni mbili hali hiyo ukilinganisha na kipindi cha nyuma.

Hata hivyo Wambura amesema katika hospitali hiyo ambapo huduma ambazo hazikuanza kutolewa pamoja na huduma ya wagonjwa wa ndani ikiwemo uzazi zimeanza kufanyika na upasuaji wa uzazi.

“Tunawakaribisha wananchi wote hospitali ya Wilaya inauwezo wa kuhudumia wagonjwa wengi  na huduma zitaendelea  kutolewa ikiwa nasi tumepata elimu ya kibingwa na ujuzi  na tutaendelea kutoa huduma  za kibingwa kulingana na kile walichotupatia”

Mganga mfawidhi amemshukuru Rais wajamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanzisha mpango wa Madaktari bingwa kushuka hadi ngazi ya halmashauri na kuwapunguzia wananchi kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta huduma.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Novemba 1,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa