• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WALIMU Waaswa kutimiza wajibu wao

Posted on: June 2nd, 2024

WALIMU wa shule za msingi na sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wameaswa kuzingatia kutimiza wajivu wao katika ufundishaji.

Hayo amesema Afisa elimu Mkoa wa Dodoma Vicent Kayombo akimwakilisha Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa TAMISEMI Adolf Ndunguru katika kikao kilichojumuisha walimu wanapofundisha kuwa na mbinu na wanafunzi kuwa na utayari wakujifunza.

Aidha  ametoa maelekezo kuwa shule zote zihakikishe wanalima mboga mboga badala yakupanda  maua.

“Kila mwalimu ahakikishe anakuwa na kazi ya ziada ya kufanya muache kutegemea mshahara tu,msikate tamaa,tambueni  Serikali inawajali na kuwaunga mkono”

Aidha Kayombo amesema Serikali imehakikisha walimu wanapanda madaraja ili kuhakikisha wanakuwa na moyo wa kujituma katika kufundisha.

“Serikali imesema ipo pamoja na nyie mkafanye mapinduzi tumewapandasha madaraja mkatimize wajibu wenu”

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba 

Juni 1,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa