• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WALIMU Msingi na Sekondari Madaba wapewa Mafunzo ya Manunuzi

Posted on: July 28th, 2023

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba wamefanya mafunzo ya Manunuzi kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed akifungua mafunzo hayo  amesema ni sehemu ya kukumbushana  ikiwa mwaka wa fedha 2022/2023 umeisha na kuanza mwaka wa Fedha mpya  2023/2024 na kutathimini utekelezaji wa Miradi ambayo imetekelezwa kwa kipindi hicho.

Mkurugenzi amesema Miradi mingi inayotekelezwa inatoka katika ngazi ya Elimu ya Msingi na Sekondari   zaidi ya Shilingi Bilioni 4 imepokelewa kwaajili ya ujenzi wa miradi hiyo.

“Hizo fedha zote tulizopokea nasema kama ni mtihani na matokeo yake kuona miundombinu imesimama kwa viwango  na ubora unaotakiwa”

Hata hivyo Mohamed amesema baada ya kuangalia ubora wa miundombinu pamoja na kuzingatia  utaratibu wa manunuzi kwa mujibu wa sheria,zilizowekwa katika  fedha pamoja na ufuatiliaji .

Hata hivyo Mkurugenzi amesema mwaka wa fedha 2022/2023 unapoisha ni mwanzo wa ukaguzi wa mwaka mpya wa fedha  2023/2024 kwa kuangalia matumizi ya fedha zilizoletwa kwaajili ya Miundombinu yote.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halamshauri ya Madaba

Julai 27,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa