• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WAGANGA wa Tiba za asili na Mbadala watakaovunja Miiko na Maadili kukiona

Posted on: September 26th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Teofanes Mlelwa amefungua mafunzo ya waganga wa Tiba za asili na Tiba mbadala katika ukumbi wa Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji na kuhudhuliwa na waganga 23.

Mwenyekiti katika hotuba yake amesema waganga hao wazingatie Miiko na  Maadili katika eneo lake la kazi kamavile Mganga awe na heshima wakati wa kutoa huduma,asiwe mbinafsi,aepuke ubaguzi wa dini,utaifa,rangi hali ya kisiasa ,jinsia pamoja na kuepuka uhusiano wa mapenzi na wateja kwa manufaa ya kibinafsi.

Hata hivyo amesema Mganga wa tiba za asili ahakikishe apelike wagonjwa wenye maradhi hatari hospitali,aepuke kutoa siri za wateja,kuwahudumia na kuwatibu wagonjwa kwa maarifa ,ujuzi na mitazamo adilifu,kuepuka kutumia nyumba za wageni kutolea huduma.

“Epuka kumtolea huduma mtoto chini ya miaka 18 bila kuwepo mzazi /mlezi wake,kumtoa mimba kwa kutumia dawa za asili,kutibu kwa kutumia viungo vya binadamu,epuka vitendo vya kichawi lamli chonganishi,ukeketaji pamoja na kukata kimeo”.

Amesema waganga hao wa tiba ya asili  na mdabala waepuke kutoa matangazo bila kibali cha baraza mganga huyo atawajibika endapo madhara yatajitokeza kwa mteja pamoja na kumruhusu mtu asiyeidhinishwa kutoa huduma.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasilino Halmashauri ya Madaba

Septemba 26,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa