• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

WADAU watoa maoni ya kutokomeza ukatili wa wanawake na watoto

Posted on: July 27th, 2024

WADAU mbalimbali wametoa maoni juu ya kutokomeza janga la ukatikili dhidi ya wanawake na watoto Halmashauri ya Wilaya ya Madaba .

Mzee mshauri Winfred Mbilinyi ametoa maoni yake katika kikao cha wadau kuhusu swala nzima la maadili kwa vijana ikiwemo malezi kwa wazazi juu ya watoto wao.

“Watoto wetu miaka hii wamekuwa na sauti zaidi kushinda wazazi,wazazi wanashindwa kuwakemea watoto wao kutokana na hali ya utandawazi”.

Mbilinyi amesema miaka  hii vijana wamesahau mira na destuli na kuvamia utandawazi ambao unapelekea mmomonyoko wa maadali.

“Kwa nafasi ya pekee napenda kumshukuru sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuona jambo hili la kurudisha machifu na kutambua uwepo wa wazee na kutuanzishia mabaraza ya ushauri”

Amesema swala la maadili ya vijana yanautofauti mkuwa na miaka ya nyuma mtoto akifikia miaka mitatu na kuendelea alikuwa anatumwa na mtu yeyote na kusalimia lilikuwa jambo la lakawaida.

“siku hizi ukisikia mtoto anakusalimia anataka kujua mda au hana nauli au anashida nyigine unakuwa unasalimiwa kwa rushwa maadili mengi yamepungua”

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wajasiriamali kijiji cha Ndelenyuma ameiomba serikali kutunga shelia ndogo ambayo itasidia matumizi ya nyumba za wageni pamoja na uvaaji wa wahudumu wao unaopelekea kuvaa mavazi ambayo hayana maadili kwa watoto.

Aidha ametoa rai kwa wazazi kuhakikisha wanaacha kulala na watoto wao mara wanapofikia miaka miwili na kuendelea badala yake wawatengee vyumba vyao.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Julai 25,2024.         

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPEWA CHETI CHA PONGEZI KWA UTEKELEZAJI BORA WA LISHE

    November 21, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI MKOA WA RUVUMA YAFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MADABA.

    November 08, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI KUTOKA MKOANI YATUA MADABA KWA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO.

    November 06, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa