• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika

VYUMBA viwili vya Madarasa Shule ya Sekondari Lipupuma Madaba vya zinduliwa na Mwenge wa Uhuru

Posted on: April 19th, 2022

Mwenge wa Uhuru umezindua miradi nane katika Halmashauri ya Madaba Ukiwemo Mradi wa vyumba viwili vya Mdarasa Shule ya Sekondari Lipupuma.

Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidi Idrisa Mohamed amesema Shule ipo katika Kata ya Mkongotema na ilianzishwa April 23,2007 na kupewa namba ya usajili S3242.

Amesema Mradi wa Vymba viwili vya Madarasa uliibuliwa na wananchi Desemba 2020, kwa kuanza kufyatua tofari na ujenzi wa maboma, ikiwemo ukamilishaji ulianza rasmi  Novemba  30,2021 baada ya kupokea fedha za tozo kiasi cha shilingi milioni 25 kutoka Serikali kuu.

Hata hivyo Mkurugenzi amesema lengo la mradi huo ni kuondoa adha ya wanafunzi kubanana katika vyumba vya Madarasa  na kusaidia kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika Mitihani ya Kitaifa na kusaidia wanafunzi kusoma katika Mazingira mazuri na kuongeza ari ya kujisomea.

“Mradi umekamilika  kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 29 kati ya fedha hizo milioni 25 kutoka  Serikali Kuu na milioni 4,860,000 ni nguvu za wananchi zilizojumuisha  uchimbaji wa msingi”.

Amesema mradi huo umetekelezwa kupitia utaratibu wa FORCE ACCOUNT  ambapo Shule ilinunua vifaa na kuajili fundi wa ujenzi  Shughuli za ujenzi ulikuwa chini ya  Kamati ya Ujenzi na manunuzi ya Vifaa  pamoja na Kamati ya Mapokezi  na kukamirisha mradi Machi 01,2021.

“Natoa Shukrani za dhati kwa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ukamilishaji”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Aprili 15 2022

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA SENSA May 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 10, 2021
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • RC Ibuge azisisitiza Halmashauri kutoa Elimu ya Mikopo

    July 01, 2022
  • SERIKALI yatoa bilioni 1.8 kujenga Hospitali Madaba

    July 01, 2022
  • WALIO husika na ubadhirifu mradi wa Hospitali ya Madaba kuchukuliwa hatua

    June 30, 2022
  • HALMASHAURI zote Ruvuma za pata Hati Safi

    June 29, 2022
  • Angalia zote

Video

RC IBUGE AZISISITIZA HALMASHAURI KUTOA ELIMU YA MIKOPO
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 10

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: info@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa