• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

VIONGOZI wa Dini Madaba wapewa Mafunzo ya Malezi,ulinzi na usalama wa Mtoto

Posted on: August 25th, 2023

VIONGOZI wa Dini Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wamepewa mafunzo ya Malezi , ulinzi na Usalama wa Mtoto.

Mafunzo hayo yametolewa na Mkurugenzi wa Taasisi ya APEC  Chuo cha Fursa na Mipango Tanzania  Respicius Timanywa yamefanyika katika Shule ya Sekondari Madaba day na kuhudhuliwa na viongozi wa Dini mbalimbali.

Timanywa amesema mafunzo hayo hadi kufikia sasa yametolewa katika Mikoa 15 na Halmashauri zake na kuzungumza na viongozi wa Dini walimu wa malezi,walimu wa Unasihi,walezi wa wanafunzi mashulezi na jamii nyingine inayolea watoto.

“Lengo kubwa la mafunzo hayo ni kuunga mkono jitihada kubwa ya Mh. Rais Samia  Suluhu Hassan za kuboresha malezi ya Mtoto ikiwa ni pamoja na kuzuia ukatili wa kijinsia”.

Hata hivyo Mkurugenzi Timanywa amesema ametoa mafunzo kwa viongozi wa Dini kwasababu ni watu wenyekutoa msaada katika jamii, ni watu wanaoishi na makundi mbalimbali ya watu.

“Viongozi wa Dini Watayafanya mafunzo haya kama mahubiri katika Makanisa yao,Misikiti hatimaye zoezi hili la usalama na malezi ya mtoto litaeleweka kwa wananchi wengi , hatimaye dira ya Serikali na mpango wa Mh. Rais utaimarisha mpango wa watoto na watatimiza ndoto zao”.

Amesema viongozi hao wa Dini wamepokea  mafunzo hayo,hivyo  kwa kina yatafanyika Septemba 21 hadi 28,2023 kuanzia saa 9 kamili alasiri hadi saa 11 Jioni Shule ya Sekondari Madaba day.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 25,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa