• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

TFS Wino walivyotoa msaada kwa watu wenye mahitaji maalum Madaba

Posted on: March 5th, 2024

MENEJA wa Shamba la miti Wino Grory Fotunatus akiwakilishwa na muhifadhi wa shamba hilo Matha Ndiyetabula katika maadhimisho ya siku ya wanawake  kata ya Gumbiro Halmashauri ya Madaba kwa kutoa mahitaji kwa watu wenye mahitaji maalum yenye thamani ya shilingi laki tatu (300,000/=).

Ndiyetabula amesema mahitaji hayo ni madaftari,taulo za kike,kalamu pamoja na nguo zilizogawiwa kwa watu wa lika zote.

“Sisi watu wa Shamba la Miti Wino tupo mahali hapa tumekuja na vitu vichache tunaomba mvipokee”

Kwa upande wake Diwani wa Viti maalum Vumilia Tawete katika maadhimisho hayo ametoa rai kwa wanawake kuhakikisha wanapinga ukatili wa kijinsia kwa watoto pamoja na kuhakikisha wanawapeleka shule ili  kila mtoto apate Elimu.

Hata hivyo Tawete amesema wanawake  wafichua watoto wenye ulemavu wanaofichwa ndani badala yake wapelekwe shuleni ikiwa wanahaki ya kupata elimu.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Machi 5,2024. 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa