• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika

ST Getrude yapata A na B matokeo ya Darasa la Saba

Posted on: January 25th, 2023

MWALIMU wa Shule ya msingi ST.Getrude Samson Mwaijibe anayefundisha somo la Kiswahili amepongezwa kwa kupewa zawadi ya shilingi elfu themanini na moja (81,000) na walimu wenzake  wa Kata ya Mkongotema na timu ya Maafisa Elimu wa Halmashauri ya Madaba  kwa kufaulisha wanafunzi  wa darasa la Saba kwa alama  A,  na B kwa somo la Kiswahili.

Kufuatia matokeo hayo wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule hiyo walikuwa 49 kati ya hao wanafunzi 41 walipata alama A  na wanafunzi 8 walipata alama ya B matokeo ya darasa la saba 2022.

 Pongezi hizo zimefanyika katika Kikao kazi kilichofanyika katika Shule ya Msingi Mkongotema na walimu wa Shule za msingi na Sekondari wa Kata ya Mkongotema na timu ya Maafisa Elimu kutoka Halmashauri ya Madaba.


Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA SENSA May 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 10, 2021
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • WANAFUNZI wa shule ya Sekondari Joseph Kizito Mhagama wapanda miti 800

    January 29, 2023
  • JUMUIYA ya wazazi Wilaya ya Songea waadhimisha miaka 46 ya CCM kwa kupanda miti Madaba

    January 29, 2023
  • Heri ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    January 27, 2023
  • RUVUMA waadhimisha kuzaliwa kwa Dkt Samia kwa kupanda miti

    January 27, 2023
  • Angalia zote

Video

MADABA KUANZA KUCHIMBA MAKAA YA MAWE
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 10

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: info@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa