• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

SHULE ya Msingi Lipupuma itakavyosaidia wanafunzi kupunguza umbali kutafuta Elimu

Posted on: September 22nd, 2023

MKUU wa Shule ya Msingi Lipupuma Onesphory Mgina amesoma taarifa ya ujenzi wa  Shule kupitia Mradi wa Boost kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas.

Akisoma taarifa hiyo amesma Shule shikizi Lipupuma  ilianza rasmi Februari 2023, ikiwa na jumla ya wanafunzi 60 wanafunzi wa awali 30 na darasa la kwanza wanafunzi 30 na walimu 2 mmoja wa kuajiriwa na mmoja wa kujitolea.

Mgina amesema Shule ya Msingi Mkongotema ilipokea fedha ya Ujenzi wa Shule ya Mkondo mmoja shilingi Milioni 331,600,000/=  Aprili 24,2023.

Amesema ujenzi huo ni pamoja na madarasa mawili ya mfano ya awali vyoo matundu 6,jengo la utawala na matundu ya vyoo 3,madarasa saba ya Elimu msingi vyoo matundu 8.

Mgina amesema mradi ulitekelezwa kwa mfumo wa njia ya Force account na kusimamia kwa timu mbili za ukaguzi,na timu ya usimamizi na kufikia hatua ya umaliziaji wa vyoo vya wanafunzi na mifumo ya maji pamoja na mitaro ya kupitisha maji  katika jengo la Utawala.

“Kiasi cha fedha kilichotumika hadi kufikia sasa Milioni 291,600,000/= na kusalia Milioni 40 kwaajili ya ukamilishaji wa kazi zilizobaki.

Hata hivyo amesema thamani ya nguvu za wananchi ni shilingi Milioni 5,500,000/= kwaajili ya kuchimba Msingi na kujaza kifusi pamoja na kuchimba Mashimo ya vyoo.

Amesma kukamilika kwa mradi huo utasaidia kupunguza umbali wa wanafunzi kuwezesha watoto wengi kuanza darasa la awali,kupunguza msongamano katika shule ya Mkongotema.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde 

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba.

Septemba 22,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa