• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

SERIKALI yatoa Milioni 90 kuboresha Madarasa 6 shule ya Msingi Ifinga Madaba

Posted on: October 7th, 2023
  1. Serikali  imetoa shilingi Milioni 90 kwaajili ya ukarabati wa Madarasa sita  katika Shule ya Msingi Ifinga Kata ya Matumbi Halmashauri ya Madaba yaliyojengwa mwaka 1922 ilipoanzishwa shule hiyo.

Kamati ya Siasa Mkoa wa Ruvuma inayoongozwa na Komred Oddo Mwisho  imetembelea na kukagua mradi huo ametoa rai kwa viongozi kuhakikisha wanasimamia mradi huo kwa wakati ikiwa Rais samia anatoa fedha kwaajili ya kuboresha Miundombinu ya shule.

“Nitoe rai kwenu  naomba tukimbizane na hali ya hewa ili tuepuke kufanya kazi wakati wa masika  mvua zikinyesha   eneo la Ifinga siyo rafiki”.

Mwisho amesema Serikali inathamini umuhimu wa Wananchi ndiomana inaleta fedha hivyo ameipongeza na kumshukuru Rais wa awamu ya sita kwa kuhakikisha anaboresha miundombinu na kuhakikisha wanafunzi wanapata maeneo mazuri ya kujifunzia.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Oktoba 7,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa