• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

SERIKALI yamaliza changamoto ya mabweni sekondari ya Madaba day

Posted on: July 18th, 2024

Rais wa  Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameleta fedha kwaajili ya ujenzi wa Mabweni katika shule ya Sekondari Madaba day.

Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama amesema katika ziara yake kuwa shilingi milioni 417 zimeletwa kwaajili ya ujenzi wa mabweni mawili ya kisasa na madarasa sita pamoja na matundu 10 ya vyoo kupitia mradi wa BARICK.

 Mhagama ameambatana na viongozi wa chama cha mapinduzi akiendelea na ziara yake amesema ujenzi wa boma katka shule hiyo umeghalimu kiasi cha shilingi milioni 18 ikiwa milioni sita ilitolewa kupitia mfuko wa jimbo na 12 kutoka kwa wananchi.

“Swala la mabweni katika shule ya sekondari madaba litakuwa limekwisha kwa sehemu kubwa maswala ya kuchangishana yameisha mmebeba mzigo mzito sana”.

Hata hivyo Mhagama amemshukuru Rais Samia kwa kuendelea kuwa msikivu na kuhakikisha analeta miradi katika Jimbo la Madaba.

“Sekondari hii kwakiasi kikubwa inachukua watoto wetu lakini inachukua na watoto wengine ambao wanatoka maeneo tofauti kidato cha tano na kidato cha sita inawasaidia sana watoto wetu kuwa na uwezo mpana “.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Julai 18,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa