• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

SERIKALI Ilivyojipanga kutatua changamoto ya Barabara na Viwanda Madaba

Posted on: August 24th, 2023

MKOA wa Ruvuma wamepewa cheti cha pongezi na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan  kwa uzalishaji wa chakula Kitaifa.

Hayo ameyasema Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile alipotembelea eneo la Uwekezaji la Silver Land Ndolela Halmashauri ya Madaba na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo .

Hata hivyo Ndile amesema Wawekezaji hao wanapata changamoto ya Barabara kutoka madaba hadi kufika eneo la uwekezaji ni kilomita 30 ambayo kipindi cha Masika magari kukwama njiani na kupelekea vibarua kukwama njiani.

Amesema  changamoto za wawekezaji hao ikiwemo  Barabara na upatikanaji wa Chokaa kwaajili ya kuchanganya kwenye udongo ,amesema  Serikali wamelichukua kwa uzito watalifanyia kazi ili kuhakikisha wawekezaji hao wanafanya kazi zao bila kikwazo.

“Udongo wa Ruvuma hauna shida ya rutuba bali unashida ya tindikali,Kama Mheshimwa Waziri alivyosema analichukua swala hili kwa uzito kutafuta wa wekezaji wa kujenga kiwanda  cha kuchakata chokaa”.

Ndile amesema upatikanaji wa kiwanda hicho cha kuchakata Chokaa  kitasaidia kupunguza matumizi makubwa ya Mbolea na kitasaidia kuongeza ajira kwa Watanzania na uzalishaji utakuwa wenye tija.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Agosti 24,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • WAHITIMU WA UFUNDI STADI KUPATIWA VIFAA VYA KUANZIA KAZI VYENYE THAMANI YA MILIONI 4.4

    November 27, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA NGAZI YA MSINGI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA WAANZA MAFUNZO MAALUM YA KUBORESHA HUDUMA KWA WAZEE

    November 26, 2025
  • DC NDILE ATOA MAELEKEZO YA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE MADABA

    November 25, 2025
  • UHISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE MADABA WAFANYIKA LITUTA.

    November 22, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa