• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

SEKTA ya Elimu bajeti ya 2021/2022 zaidi ya shilingi bilioni 1

Posted on: February 7th, 2023

SEKTA ya Elimu Halmashauri ya Madaba mwaka 2021/2022 ilipokea na kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 1 kwaajili ya utekelezaji wa shughuli za Elimu.

Akizungumza Mkuu wa Idara ya Mipango katika kikao cha bajeti cha  Baraza la Madiwani amesema Elimu bila malipo ilitengwa kiasi cha fedha zaidi ya shilingi milioni 179 zilitolewa kwaajili ya uendeshaji wa Shule za msingi na Shule za Sekondari jumla ya zaidi ya shilingi milioni 206.

Amesema uboreshaji wa miundombinu katika Shule za msingi zilitolewa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 303 kwaajili ya ukamilishaji wa madarasa,matundu ya vyoo na ofisi baadhi ya shule hizo ni Kifaguro,Ngadinda,Likarangiro,Mtyangimbole,Kiblang’ombe,Ngembambili,Mkwela,Mtazamo,Sokoine,Luhimba,Magingo,Njegea,Ifinga,Ifugwa na Igawisenga.

Hata hivyo amesema Shule za Sekondari zililetewa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 718 kwaajili ya ujenzi wa madarasa 33 vyumba 5 vya maabara,utengenezaji wa viti na meza 1,240 kwa shule 9 za Sekondari.

Afisa mipango amesema Halmashauri hiyo imejenga Shule moja ya Sekondari kupitia mradi wa SEQUIP ambayo ni Shule ya Joseph Kizito Mhagama iliyopo kijiji cha Kipingo Kata ya Lituta.

Luambano amesema hali ya ufaulu elimu ya Msingi ni asilimia 86.1 kwa Darasa la saba na darasa  la nne ni asilimia 93.5,Elimu ya sekondari kidato pili asilimia 97,kidato cha nne asilimia 96 na kidato cha sita asilimia 100 kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

“Halamshauri hiyo imefanikiwa kupokea walimu 6 msingi 2 na walimu wa Sekondari 4 na wote wameripoti”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Madaba 

Februari 7,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa