• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RC Thomas ;Watumishi tembeleeni vivutio

Posted on: May 1st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas ametoa rai kwa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kutunza mazingira kwaajili ya vizazi vya sasa na vizazi vijavyo.

Thomas amezungumza hayo katika sikukuu ya wafanyakazi Mei mosi zilizoadhimishwa Kimkoa Manispaa ya Songea viwanja vya Maji Maji.

Hata hivyo amempongeza Mhe .Mkuu wa Wilaya ya Songea kwa kuwakaribisha watumishi na watanzania kutembelea vivutio mbalimbali ambavyo vipo katika Wilaya ya Songea ikiwa bustani ya Ruhila  wameletwa Simba 2 na Wanyama wengine  mbalimbali.

“Watumishi mpate nafasi ya kutembelea vivutio hivyo kufanya utalii wa ndani na mnapofanya utalii wa ndani mnaondoa stress”.

Mkuu wa Mkoa amesema  Kila Mwananchi awe balozi wa kutembelea na kutangaza vivutio vilivyopo katika Mkoa wa Ruvuma na Nchi ya Tanzania.

Hivyo ameagiza kulingana na mabadiliko ya tabia ya Nchi kuhakikisha kila mwananchi anapanda miti ikiwa Mwenge kila ulipopita katika  Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma wamepanda miti.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Halmashauri ya Madaba

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa