• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RC Ibuge awaagiza Ruwasa na wataalamu wa Bonde la Ziwa Nyasa kutoa Elimu ya kutunza vyanzo vya Maji

Posted on: October 29th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jeneral Wilbert Ibuge ametembelea Miradi ya Maji katika Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea.

Ibuge katika ziara hiyo ametembelea chanzo cha Maji cha Igawisenga,Kibandisi  na Igombezi na  kuwaagiza wataalamu kutoa Elimu naakuwa na  makubaliano ya pamoja na wananchi  katika swala nzima la kulinda vyanzo vya maji.

Hata hivyo Ibunge amewaagiza viongozi wakiwemo waheshimiwa madiwani kutoa elimu kwa wananchi hao ikiwemo katika swala nzima la kuacha kufanya shughuli za kibinadamu katika maeneo ya vyanzo vya Maji.

“Msiseme tumewapa wananchi Elimu wameelewa lazima kuwepo na makubaliano  na uelewa wa pamoja ili Maji yawe endelevu ili na vizazi vijavyo waweze kuyakuta”.

 Mhandisi Chales Mathias wa Wilaya ya Songea amesema mradi wa Igawisenga ulianza Februali  2021 na kugharimu kiasi cha shilingi milioni  831,229 kwa kuwatumia wataalamu wa ndani.

Mhandisi ameelezea changamoto za ujenzi wa mradi huo ikiwemo kupeleka vifaa kwa kutumia usafiri wa pikipiki wakati wa mvua na mradi haukuweza kukamilika kwa wakati

Mathias ameeleza hali ya utekelezaji wa Maji imefikia asilimia 80 kwa kujenga tanki la Maji la lita laki moja,Nyumba ya Mlinzi, Ununuziwa Mabomba ,ujenzi wa vituo 18 vya kuchotea Maji.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Ruvuma

Octoba 28,2021

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa