• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

PAROKO Raphael aipongeza Serikali kwa ugawaji wa miche ya miti

Posted on: January 15th, 2025

Paroko katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mahanje Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Titus Raphael ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ugawaji wa miche bure itakayosaidia utunzaji wa Mazingira.

Hayo amesema mara baada ya zoezi la ugawaji wa Miti lililofanyika katika Kata ya Wino amesema zoezi hilo la ugawaji wa miti linaenda kutunza mazingira.

“Maaskofu mwaka jana walikuwa na mkutano wa kutunza mazingira na kuhimiza wananchi watunze mazingira ili mazingira yaweze kukutunza pia kwa kuweza kupata hali ya hewa nzuri na mvua za kutosha “.

Raphael amesema zoezi la upandaji miti linahitaji umakini ili liweze kutusaidia kupata mazingira rafik na mvua ya kutosha ikiwa katika maeneo mengi yamekuwa hayana mvua za kutosha kutoka na kukosa miti ya kutosha.

Hata hivyo Paroko ameipongeza Serikali kwa kufanya jitihada ya kuhakikisha Viwanda vinajengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba utakuwa uzalishaji utakaopelekea wananchi kupata fedha za kujikimu.

“Tunaiomba Serikali iweze kututimizia  jambo hili kwa uharaka kwa sababu tunamiti mingi ambayo inakaria kuvunwa kiwanda kikiharakishwa kujengwa kitasaidia watu wengi kujipatia fursa “.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Januari 16,2025.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa