• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

NMB yatoa elimu ya mikopo kwa wajane

Posted on: June 28th, 2024

WAJANE Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wamepewa elimu ya ufunguzi wa account katika benki ya NMB na kusajili vikundi ili waweze kupatiwa mikopo.

Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya wajane Afisa Mauzo wa benki ya NMB Madaba Jafet Shayo amesema Benki ya NMB inatoa mikopo ya kilimo,ufugaji na biashara mbalimbali.

“Benki ya NMB ili iweze kutoa mikopo lazima kikundi kiwe kinatambulika na Halmashauri na kuwa na account iliyoweka akiba”.

Shayo amesema mkopo wa kilimo riba yake ni asilimia 9 kwa mwaka na kupitia shughuli wanazofanya wanakikundi benki itawakadiria mkopo walioomba.

Aidha ametoa rai kwa wananchi kufungua account rahisi inayoanzia na shilingi 1000 itakayomsaidia mteja kuweka  hela sehemu salama.

“Ukitumia account yako ndani ya miezi mitatu itakuwesha kukopa kupitia simu yako mshiko fasta kuanzia shilingi 1,000 hadi 1,000,000/= na kulipa ndani ya mwezi mmoja bila dhamana”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba 

Juni 27,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa