• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MWENYEKITI MADABA Wanafunzi ambao hawataenda Sekondari Januari kukiona

Posted on: September 21st, 2023

SHULE ya Msingi Lilondo  Kata ya Wino Halmashauri ya  Wilaya ya Madaba wamefanya Mahafari ya 41 ya darasa la Saba Mwaka 2023.

Aliyekuwa Mgeni rasmi katika Mahafari hayo ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Madaba Teofanes Mlelwa amesema amewapongeza wanafunzi hao kwa uvumilivu wa  kukaa Shuleni miaka saba  hatimaye  kuhitimu  Elimu yao ya Msingi.

“Kukaa Shuleni Miaka saba siyo Jambo dogo,kipekee niwapongeze walimu ndio wanaoishi na wanafunzi Miaka saba wanakuja hapa wakiwa wadogo lakini mpaka kufikia miaka saba wanakuwa wanaweza kujitegemea ndiomana wamependeza”.

Mlelwa ametoa rai kwa Wanafunzi hao kuhakikisha wanaendelea na Masomo ya Sekondari hadi Chuo kikuu.

“Mwanafunzi ambaye hata enda Sekondari atakamatwa na kuwekwa ndani pamoja na Mzazi wake natarajia wote 72 wataenda sekondari ‘.

Mwenyekiti amesema wanafunzi hao waliomaliza katika Kata ya Wino wanabahati maana Serikali imeleta shilingi Milioni 490 kwaajili ya ujenzi wa shule mpya ya kisasa amabyo Januari 2024 wanafunzi wataanza masomo yao.

“Ndani ya Halmashauri ya Madaba hii ni Shule ya Pili kama ile ya Joseph Mhagama  ,nipende kumshukuru kwa dhati ya Moyo wangu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed na Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama kwa kuleta Fedha Kata ya Wino ya ujenzi wa Shule”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halamshauri ya Madaba

Septemba 21,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa