• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MWENYEKITI Jukwaa la wanawake Madaba awaasa akina mama kujiepusha na mikopo kausha damu

Posted on: March 6th, 2024

KUFUATIA siku ya wanawake Duniani inayofanyika kila mwaka Machi 8 wanawake Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wametoa masaada wa vitu mbalimbali kwa  watu wenye mahitaji maalumu katika Kata ya Ngumbiro.

Akizungumza Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake Halmashauri ya Wilaya wa Madaba Birigita Hongo katika maadhimisho hayo amewaasa wanawake kuacha kukopa mikopo ya kausha damu inayopelekea kuyumbisha familia ikiwa mama  ni mlezi katika jamiii.

Hongo amesema wanawake wahakikishe wanajiunga katika vikundi ili waweze kupata fursa za kiserikali zinazojitokeza pamoja na kujishughulisha na biashara mbalimbali za kijasiliamari ili kuweza kuleta chachu katika familia.

“Tuamke akina mama tuache kulala anayeongoza Nchi nzima ni mwanamke,lakini kwanini mwanamke ushindwe kuongoza nyumba yako”.

Hongo amesema kaulimbiu ya siku ya Wanawake mwaka 2024 inasema “wekeza kwa wanawake  kuharakisha maendeleo ya Taifa na Ustawi wa Jamii”.

Hata hivyo amesema kauli mbiu hii inalenga kuhamasisha jamii kuwekeza kwa wanawake ili kuleta usawa wa kijinsia pamoja na kukumbusha umuhimu wa usawa kijinsia katika kuchochea  ukuaji wa uchumi,maendeleo jumuishi na ustawi wa jamii kwa maendeleo endelevu kwa wanawake.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Machi 5,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa